ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 29, 2012

SHILATU AUKWAA UENYEKITI CCM NYAMAGANA, MASHA AUKWAA UJUMBE NEC TAIFA


Wakishow love Masha na Mabina.

Mkutano wa uchaguzi ulikuwa na hazina ya wapiga kura wa kutosha.

Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa waliochaguliwa kutoka kulia ni Joseph kahungwa, Saimon Ntabi na Flora Magabe.

Eneo la mkutano huo wa uchaguzi.

Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akiwa amebebwa juu kwa juu mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang'anyiro cha ugombea nafasi hiyo.


Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akitoa shukurani zake kwa wanachama wenzake sambamba na salaam.

Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akiteta na Bw. Mabina ambaye naye anatetea nafasi yake ya  uenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza. 

Ni fursa kuteta bustanini Mjumbe aliyeshinda nafasi NEC Lawrance Masha na Dr. Wangabo 


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.