![]() |
Abiria wenzangu mtumbwini ooooh Afrika.... |
![]() |
Mara dushwiiii... upande wa pili Luchelele nje kidogo ya jiji la Mwanza. |
![]() |
Mie nikawa wa kwanza ili nipate picha ya usafiri wetu. |
![]() |
Chekshia sangara mwenye viwango... |
![]() |
Mara kabaaaa mzigo homu mwanawane.... |
![]() |
Kwa soko la karibu itapendeza kuongeza kitu cha ndizi kuchombeza mnogo wa maakuli. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.