ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, August 12, 2012

NATOKEA SENGEREMA KWA AKINA PJ WA PB CLOUDS..

My name is G. Sengo:- Nilifunga safari ya matembezi kuelekea vijiji vya ndani ndani wilayani Sengerema (Ilunda) leo wakati narejea nilipanda mtumbwi safari ya udiferenti' kweli kweli ambapo humo nikakutana na mvuvi aliyekuwa na samaki huyu aina ya sangara mwenye uzito wa kilo kumi na gramu kadhaa, bizinesi ikafanyika nami nikamilikishwa mzigo....

Abiria wenzangu mtumbwini ooooh Afrika....

Mara dushwiiii... upande wa pili Luchelele nje kidogo ya jiji la Mwanza.

Mie nikawa wa kwanza ili nipate picha ya usafiri wetu.

Chekshia sangara mwenye viwango...

Mara kabaaaa mzigo homu mwanawane....

Kwa soko la karibu itapendeza kuongeza kitu cha ndizi kuchombeza mnogo wa maakuli.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.