ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, August 13, 2012

MWANZA YETU NA MABORESHO...

Mafundi wa kampuni ya Jasco wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Libert jijini Mwanza.

Barabara ya Libert kutokea barabara ya Uhuru inavyoonekana sasa kufuatia kuendelea kwa ujenzi wake unaofanywa na kampuni ya Jasco ya jijiniMwanza.

Eneo la barabara ya Uhuru kuelekea Mlango mmoja jijini Mwanza, ambalo limekuwa ni sehemu korofi ambapo kwa sasa inakarabatiwa kutokana na kuwa kero kubwa wakati wa mvua zinaponyesha.

Mafundi wakitandaza nondo ili kumwaga zege kudhibiti eneo hilo katika barabara ya Uhuru jijini Mwanza ambalo limekuwa kero kupitika wakati wa mvua zinaponyesha.


Kwa wateja wanaofika katika Hotel ya Yung Lhong iliyopo katika eneo la Caplipoint jijini Mwanza kwa wale waendao kuchimba dawa hukutana na......... 

Kwa wale ambao hawajapata vazi rasmi la Eid el Fitri watembelee mtaa wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza.

Mmoja wa wadau wa blog hii Selemani Fish akivinjari na 'mkoko' wake katika makutano ya barabara ya Libert na Uhuru jijini Mwanza kama alivyokutwa na kamera ya blogu yako.

Blogu hii inawatakia kheri ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani marafiki wote wafuatiliaji wa matukio hapa:- Ramadhan (Villa Park), Jackson Mbando (Airtel), Abdalah Tilata na Muhksin Mambo (Star Tv)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.