ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 14, 2012

MANENO OSWARSD VS RASHID MATUMLA KUPAMBANA TENA SIKU YA IDI MOSI DAR LIVE

Promota wa mchezo wa masumbwi Kaike Siraju katikati akiwainua mikono juu mabondia Maneno Osward kushoto na Rashidi Matumla wakati wa kutambulisha mpambano wao utakaofanyika siku ya idi pili katika ukumbi wa Dar Live.


Mabondia Maneno Osward kushoto na Rashidi Matumla wakitunishiana misuli wakati wa kutangaza mpambano wao utakaofanyika siku ya uidi pili katika ukumbi wa Dar live siku ya Idi mosi
Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.