![]() |
| Leo ni siku ya shangwe la kuzaliwa Josslyn Joram (J&J), Jollyn Joram na Shangazi yao Doreen. |
![]() |
| Josslyne akikata keki huku akipewa sapoti na Doreen. |
![]() |
| Jollyn ambaye ametimiza mwaka mmoja akikata keki kwa kampani ya mama yake. |
![]() |
| Doreen akikata keki kwa sikukuu yake ya kuzaliwa iliyofanyika home kwa brother yake na watoto wakiimba na kupuliza maputo. |
![]() |
| Josslyne akimlisha keki mama yake mzazi Bi. Grace Mtongole na kwa chati Jollyn akichekelea katika sherehe iliyofanyika nyumbani kwao Iloganzala Pasiansi wilayani Ilemela jijini Mwanza.. |
![]() |
| Josslyne akimlisha keki mdogo wake Jollyn. |
![]() |
| Naye Doreen to Josslyne. |
![]() |
| Doreen akimlisha sister wake Neema. |
![]() |
| Add captionJosslyne akimlisha Zera. |
![]() |
| Kona ya akina baba nje ya house. |
![]() |
| Nyama choma zilichomeka kwa area kwa saaaaana. |
![]() |
| Oyaaaaaa fasta mangi!!! |
![]() |
| Kabupilipili kakali. |
Tupe maoni yako













Hakika ilikuwa siku ya Furaha kwa Familia ya Mr&Mrs Joram Ngaiza.Watoto walipendeza sana Mwenyezi Mungu hawape maisha marefu yenye fanaka tele.
ReplyDeleteHongereni sana ndugu, naona kulikuwa kumekamilika kuanzia watu, keki na zakuchoma.
ReplyDeletehongera sana doreen,J and J
ReplyDelete