![]() |
Mfanyakazi wa Benki ya FBME tawi la Mwanza Anna Lupemba akiweka sawa msaada kwa kituo cha watoto yatima Mwanza. |
![]() |
Wadau wa kituo cha watoto yatima cha Misbal Huudal kilichopo mahina jijini Mwanza wakishusha zawadi ya Eid iliyotolewa na Benki ya FBME Tawi la Mwanza. |
![]() |
Vijana waliohudhuria makabidhiano hayo ya msaada kutoka benki ya FBME Tawi la Mwanza. |
Neno la shukurani kutoka kwa Uongozi a kituo cha kulelea watoto yatima cha MISBAL HUUDAL kwa Benki ya FBME Tawi la Mwanza.
![]() |
Imekuwa ni ada kwa benki ya FBME Tawi la Mwanza kila mwaka kutenga sehemu ya faida yake kusaidia watoto yatima naam na safari hii hilo limekamilishwa. Hongereni FBME. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.