![]() |
| Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Riberatus Barrow akipiga saluti mara maada ya kuweka shoka kwenye mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa waliotutangulia wakilipigania Taifa letu. |
![]() |
| Shekhe wa Mkoa wa Mwanza Alhaj Salum Hassan Fereji akiweka shada la maua kwa kumbukumbu ya Mashujaa waliotutangulia wakilipigania Taifa letu. |
![]() |
| Mwakilishi toka CCT Mchungaji Henry akiweka shada la maua kwa kumbukumbu ya Mashujaa waliotutangulia wakilipigania Taifa letu. |
![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Nyamagana akiweka shada la maua kwenye mnara wa mashujaa kama kumbukumbu ya Mashujaa waliotutangulia wakilipigania Taifa letu. |
![]() |
| Picha ya pamoja na sehemu ya waandishi wa habari. |
Kumsikiliza mhe. Ndikilo bofya hapa.
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment