ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 5, 2012

AJALI MLIMA SEKENKE GARI AINA YA FUSO


Tarifa kutoka kwa mdau zinasema kuwa gari hilo lilikua likishuka mlima.

Na. Mdau wetu Eliakim William
Ajali imetokea katika mlima sekenke gari hiyo aina ya fuso
Yaa mimi nilipita pale majeruhi walikua wa4 gari ilikuwa limebeba mahindi na nilichoona inashuka kwa kasi sana. Na nikaona vijana wawili wakiruka toka kwenye gari. Gari likazidi kuongeza mwendo nakuanguka mpakanaondoka hapo hapakuwa na mtu aliyepoteza uhai.

Na nilichokiona leo madreva tuweni makini sana tunapo tumia barabara , natufuate sheria za udreva, nimepishana namagari yanashuka kwa kasi sana mliman , nawanatumia brake sana kushukia mlima badara kuweka gia sahihi,

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.