ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 29, 2012

WALE WA GOTHIP'' DAWA YA NGUVU ZA KIUME HII HAPA

Mchuuzi wa tende katika kituo cha mabasi mkoani Dodoma, wengi hatujuwi kuwa  zao hili lina sifa nyinyi kwa matumizi ya mwanadamu...!!  
DAWA YA NGUVU ZA KIUME HII HAPA
Wakuu.
Tumekuwa tunajadili mambo mengi ya msingi kwa taifa letu na mara kadhaa tumekuwa tunajadili kwa umuhimu wa kipekee madhara ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zinazopelekea tatizo hilo.

Mwanaume hasifiwi kupendeza kwa mavazi ya dhahabu, au suti za mikogo, lakini pia furaha ya mpenzi wake haiishii kwenye ununuzi wa vipodozi,  nguo za gharama au usafiri wenye viti vya manyoya.
Kwa heshima na taadhima naomba tupeane maarifa ya tiba mbadala ya kuongeza nguvu za kiume kwa juice ya tende.

 Mahitaji.
1. Robo kilo ya tende
2. Maziwa nusu lita
3. Blenda ya kusagia
4. Bakuli
5. Birauli

  Hatua
i. Ondoa kokwa za tende na tia kwenye blenda
ii. Changanya tende na maziwa.
iii. Blendi maziwa na tende kwa muda wa dakika 5 mpaka upate juice laini.
 Matumizi.
Kunywa birauli 1 hadi mbili mara 3 kwa siku kwa kiasi cha siku utakazo weza.

Sharti.
Usichanganye wala kuongeza sukari kwenye juice hiyo.

  Faida.
 i. Hutibu chango la kiume na kike (tumbo kunguruma na kujaa gesi)
 ii. Hutibu tatizo la choo ikiwa ni pamoja na wale wenye kutoa choo mithili ya mnyama mbuzi.
iii. Inaweza kutumiwa na mtu yoyote wa jinsia yoyote.

Wakatabahu.

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. Una uhakika na hilo mkuu? Watu wengi hutangaza dawa zanguvu za kiume lakini si kweli.

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.