ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 15, 2012

AIRTEL RISING STARS YAZIDI KUSHINE

Mchezaji namba 7 wa timu ya Mbeya Stanley Kadumu akipokea zawadi ya mpira kutoka kwa msimamizi wa michezo ya Airtel Rising Stars kutoka DRFA Daudi Kanuti mara baada ya kufunga mabao 3 katika mechi ya nusu fainali thidi ya timu ya Ilala

Timu ya wasichana wa Mbeya wakifurahia ushindi katika mechi za nusu fainali za Airtel Rising Star zilizofanyika leo ambapo mbeya imeifunga Ilala kwa penati mabao 3-2 

Timu ya wavulana mbeya ikishangia ushindi baada ya kuifunga ilala mabao 5-2 katika mchezo wa nusu fainali ya michuano yaAirtel Rising Stars
Wachezaji wa timu ya mbeya wa michuano ya Airtel Rising Stars wakifurahia ushindi walioupata leo baada ya kuifunga timu ya Ilala

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.