Huyu jamaa amekufa (Stephen Kanumba), nilitegemea matangazo yake yangesitishwa kwa kifo chake, je sheria na tamaduni vinasemaje? Tangazo hilo la Startimes kwenye kishikizo lipo kituo cha daladala mwenge.
mkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Inawezekana alikuwa na mkataba ambao alishachukua malipo yake yote, je familia itarudisha pesa pamoja na fidia au tangazo lieendelee tu
ReplyDeletemkataba haujaisha....
ReplyDeletemkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
ReplyDelete