Huyu jamaa amekufa (Stephen Kanumba), nilitegemea matangazo yake yangesitishwa kwa kifo chake, je sheria na tamaduni vinasemaje? Tangazo hilo la Startimes kwenye kishikizo lipo kituo cha daladala mwenge.
mkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
XERIN AIR CARGO YALETA NDEGE YA MIZIGO TOKA DUBAI
-
*Kampuni ya Xerin Group inajivunia kutangaza kuzindua rasmi huduma yake
maalum ya kukodisha mizigo ya anga, hatua kubwa katika kuimarisha uhusiano
wa ...
Inawezekana alikuwa na mkataba ambao alishachukua malipo yake yote, je familia itarudisha pesa pamoja na fidia au tangazo lieendelee tu
ReplyDeletemkataba haujaisha....
ReplyDeletemkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
ReplyDelete