Huyu jamaa amekufa (Stephen Kanumba), nilitegemea matangazo yake yangesitishwa kwa kifo chake, je sheria na tamaduni vinasemaje? Tangazo hilo la Startimes kwenye kishikizo lipo kituo cha daladala mwenge.
mkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Inawezekana alikuwa na mkataba ambao alishachukua malipo yake yote, je familia itarudisha pesa pamoja na fidia au tangazo lieendelee tu
ReplyDeletemkataba haujaisha....
ReplyDeletemkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
ReplyDelete