Huyu jamaa amekufa (Stephen Kanumba), nilitegemea matangazo yake yangesitishwa kwa kifo chake, je sheria na tamaduni vinasemaje? Tangazo hilo la Startimes kwenye kishikizo lipo kituo cha daladala mwenge.
mkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
Wairani wanaambiwa nini kuhusu vita?
-
Ingawa mamilioni ya Wairani hufuatilia vituo vya satelaiti vya lugha ya
Kipersia vinavyotangaza kutoka nje ya nchi, kupata taarifa huru bado ni
changamoto.
Inawezekana alikuwa na mkataba ambao alishachukua malipo yake yote, je familia itarudisha pesa pamoja na fidia au tangazo lieendelee tu
ReplyDeletemkataba haujaisha....
ReplyDeletemkataba haujaisha... istoshe inamaana hilo ni tangazo la biashara... na sura yake hapo ndo inauza... inamaana mbon anyerere na watu maarufu wengine hawapo lakini sanamu zao zinaendelea kuwepo? FUNGUKA WW
ReplyDelete