ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 26, 2012

STELLA AGUSTINO NDIYE MISS ILEMELA 2012-2013

Mshindi wa taji la miss Ilemela 2012 Stella Agustino (katikati) akiwa na mshindi wa pili Hapiness (kushoto) na mshindi wa tatu

Majaji miss Ilemela 2012.
Wadau katika pozi kushuhudia tukio...

Warembo walioingia kumi bora miss Ilemela 2012.
Sharowbarow President Bob junior akimalizaaaaa...
Flash na sehemu ya Gold Crest Hotel.

Mshiriki namba moja.

Mshiriki namba 2.

Mshiriki namba 3.

Mshiriki namba 9.

Mshiriki namba 4.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya toka jijini Mwanza Dogo Baraka ni sehemu ya burudani iliyowakonga wengi waliofika kushuhudia miss Ilemela akitunukiwa taji usiku wa tarehe 25/05/2012

Pichani huyu si mshiriki miss Ilemela 2012 bali ni sehemu ya Onyesho la mavazi ya Harusi toka Munira Classic.

Wadau wakichukuwa matukio.com hapa ni mwendo wa face book.

Onesho la mavazi ya harusi toka duka la mavazi ya harusi na sendof na urembo Munira Classic.

Mbunifu wa mavazi Munira akitambulishwa mbele ya umma uliojitokeza.

Mc wa tukio Mr. G. Sengo toka Clouds Fm Mwanza.



Meza ya majaji chini ikitafakari muonekano wa kwanza kupitia open show ya Miss Ilemela 2012.

Ze pipooo.

Wadadaz wakipata flash kwa blog....

Ni moja kati ya burudani zilizokuwepo kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka miss Ilemela 2012 anaitwa Anna kutoka nchini Namibia akicheza Belly Dance.




Hapa Chief Judge Muhksin Mambo toka Star Tv (nyuma ya mshiriki no 7) alipokuwa akitaja kumi bora.

Ze flawaz..

Kipaji toka moyoni mshiriki wa kinyang'anyiro miss Ilemela Stela akionyesha kipaji cha kucheza wimbo wa Fally Ipupa - Bakanja.

Mshiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Ilemela  Hapiness akichora ndani ya kuonyesha vipaji.

Kipaji toka moyoni mshiriki Zaifath kipaji cha kuimba.

Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi nafsi ya 3 cheki ya shilingi laki mbili.

Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi wa nafsi ya pili Hapiness, cheki ya shilingi laki tatu.
Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi Miss Ilemela 2012 Stella Agustino, cheki ya shilingi laki tano.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.