ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 12, 2012

'KWETU PAZURI'

Flash nikiwa na watoto wa familia ya Paulo Lugwecha ambaye ni mwenyekiti wakiji cha Imalamate kilichopo tarafa ya Ngasamo wilaya ya Magu mkoani Mwanza.

Ramani ya kijiji cha Ngasamo..

Picha za ukutani ofisi ya mtendaji wa kijiji.

'TUNATUPIAMO' Hivi tangu uzaliwe umeshawahi kuweka maoni kwenye kisanduku hiki? Au unahofia kwamba mfunguaji kisanduku ndiye mlengwa...?

Ligi ya Uingereza imeteka hadi vijiji vyetu..

Hifadhi ya fagio kwenye kaya kijijini..upo hapo...!
Pozi la raha toka kazini, hapa ni kusubiri msosi tu...

Umerudi toka kazini huna hata mia babake unahitaji nguvu ya Jesus....

Wadau wakikosha mikono kujipatia maakuli katika hotelini kubwa kuliko zote kijijini hapa.

Dhabahu iliyosakwa imepatikana...

Tupe maoni yako

2 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.