Ni barabara ya vilima vya Nyanshana kuelekea jeshini. Barabara ya kiwango cha udongo yenye mifereji ya mawe. Wakazi wa milimani wengi wao wamejenga nyumba zao bila ramani na katika viwanja visivyopimwa wengi hawana vyoo vinavyokubalika kiafya na hivyo misimu kama hii hutumia kufungua maji hayo machafu aka kutapisha vyoo. Sehemu kubwa ya bararaba inazidi kumegwa na mvua huku mufereji ikizidi kuathirika.
Waziri wa Fedha awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali
-
*Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha
bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa
mwaka 2025...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.