ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, April 15, 2012

KILIMANJARO MUSIC AWARD 2012, DIAMOND NA WAFANYA KWELI, FASHENI ZATAWALA

Muigizaji wa Kundi la Komedy, Mjuni a.k.a Mpoki ambaye alikuwa ni mshereshaji wa Tuzo za Kilimanjaro Tanzania. Hakika aliweza kufanya vizuri sana na kuwaacha hoi wageni waliofika katika tuzo hizo.

Vijana toka Tanzania House of Talent (T.H.T) wakionyesha ujuzi wao wa kucheza.

...Hapa ngoma ikiwa imenoga...

...chapa mguu

Muonekano wa Jukwaa.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Queen Darleen akishukuru kupokea tuzo.

Kulia ni Msanii Profesa Jay na kushoto ni Mkubwa Fella meneja wa kundi la TMK Family wakimkabidhi tuzo Roma Msanii wa muziki wa Hiphop aliyejishindia tuzo ya msanii bora wa Hiphop.

Sinta akimkabidhi Msanii bora wa Rap (Bendi) Khalijo Kitokololo tuzo yake.wa tuzo za Kilimanjro Music Award 2012. Pembeni yake ni Meneja wa Global Publisher.

Mwanamuziki Diamond (kulia)akipokea tuzo yake kutoka kwa George Kavishe meneja wa bia ya Kilimanjaro mara baada ya kutangazwa mshindi wa utunzi bora wa wimbo katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa wanamuziki bora Kilimanjaro Music Award 2012.

Mwanamuziki Diamond akipiga picha na mama yake wa pili kutoka kushoto na Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka kutoka kulia pamona na wanenguaji wake mara baada ya kupokea tuzo yake ya utunzi bora wa wimbo.

Mdau Kelvin Twisa ndani ya nyumba pia.

Produser P. Funk na Mwanahip hop J. Moo
KWA HISANI YA www.kajunason.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.