Niko uwanja wa mkwakwani kuangalia ligi ya mkoa kati ya Manguli wa zamani African sports na Prison Tanga. Kilicho nisikitisha ni utaratibu mbovu wa kuingia uwanjani na baiskeli, tena kibaya zaidi zikiwekwa kwenye njia na majukwaa ya kukalia.
Angalia kwenye kiambatanisho. From "Mohamedi Mtoi"
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.