ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 24, 2012

KAMPUNI YA ALLIANCE ONE TANZANIA YAWAELIMISHA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI JUU YA ZAO LA TUMBAKU

Mkurugenzi wa Alliance One Tanzania Ltd Bw. Mark Mason akizugumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari jijini Dar es Salaam. Mkutano huo uliandaliwa kwa ajili ya kuwapa taarifa juu ya maendeleo ya tumbaku na mambo mbali mbali wanayoyafanya katika kuisaidia jamii. Kampuni hiyo inafanya shughuli za Tumbaku huko Kinglowila, Morogoro.

Meneja Uhusiano wa Alliance One Tanzania Ltd, Bw. Hamis Liana akiwaeleza wahariri juu ya miradi mbali mbali ya kijamii inayotolewa na kampuni yao kupitia zao la tumbaku ambalo wanashughulikia huko mkoani Morogoro. Mkutano huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.

Wahariri kutoka The African Bw. Shermax Ngahemera, Uhuru Bw. Damas na Bethuel Kinyori wa Corporate Digest na Meneja Uhusiano wa Silverbullet PR Nadine Kapya wakiwa katika mkutano na Alliance One Tanzania Ltd jijini Dar es Salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.