Raia wa Japani walikaa kimya kwa dakika moja kukumbuka siku kama ya leo mwaka mmoja uliopita ambapo tetemeko la ardhi na tsunami lilikumba kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Shughuli za usafiri zilisimama hadi Sendai Air Port huku wananchi wakiwakumbuka takriban watu 20,000 waliokufa au kupotea kwenye maafa hayo.
Janga hilo pia lilisababisha miale ya nuclear kuchiririka kutoka kinu cha umeme cha Fukushima na kupelekea Japani kufikiria upya sera zake za nishati.
Wengi walikosa makazi.
Tizama makontena katika yard hii ya moja ya bandari yalivyokusanywa kama viberiti...
Mfalme Akihito na Waziri Mkuu Yoshihido Noda waliongoza maombi ya kitaifa mjini Tokyo. Mfalme alisema kuwa Japani haifai kusahau majanga yaliyoikumba iwapo inataka kuwa taifa salama na lilostawi katika siku za usoni.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.