
sIKu hii njema kwake imeangukia ijumaa ambapo mida ya night kuanzia saa nne kamili mara baada ya Sports Extra, huwa anahusika hewani na madizaini tofauti tofauti kila wiki katika Soso Fresh kupitia Radio ya watu....
jEh leo atafanya kipi cha Udiferenti????!!!!?????


.HAPPY BIRTHDAY 2 YOU ALL.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.