Mwimbaji maarufu Afrika Mashariki katika medani ya Muziki wa Injili Flora Mbasha yuko ziarani kwa mwezi sasa nchini marekani kwaajili ya huduma ya tar1 april hapa ni mchanganyiko wa wanamuziki mbalimbali maarufu wa nyimbo za injili katika mazoezi ya nyimbo zitakazoimbwa.
Hapa Flora alikuwa akielezea jinsi ya kuitikia nyimbo zake zote atakazoimba, baada ya ziara nchini Marekani mwimbaji huyo anategemea kuelekea nchini Canada kwa wiki moja kisha Uingereza kwa wiki 1 tena na kurudi nyumbani Tanzania.
Vionjo vikipikwa..
Kushoto ni mpiga piano maarufu sana na ndiye mwalimu wa sauti na anasimamia music ni music dirrector pia ndiye mwandaaji wa marathon hapa Boston kwa wale wanaojua kukimbia Tanzania fursa ipo pembeni aliyesimama ni mpiga Bass maarufu sana ni mkali mno anapiga Bass utasema ni mashine inapiga kumbe ni vidole tu.
Hapa kitu kinapikwa..
Aaaah mwana wa kwetu..
Chagua pozi kali Pozi namba 1.
Au Pozi namba 2.
Nani kaona mboga?
Meneja ambaye vilevile ni mume wa Mwanamuziki wa injili Flora Mbasha, Emanuel Mbasha akiwa na wenyeji wake.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.