

Dr.Masha ameshauri na kutia msisitizo kuwa badala ya kunung'unika Tanzania yapaswa kujiandaa na changamoto za Jumuiya ya Afrika Mashariki ili wadau wake wasipwaye katika soko.



Kuhusu MUUNGANO WA KISIASA Masha amesema kuwa moja kati ya makubaliano ya Shirikisho la Jumuiya ya Afrika mashariki ni kwamba hatimaye mara baada ya kuondoa Ushuru wa forodha, kuwa na Common Market, kuwa na Sarafu moja pamoja na mfumo wa fedha hatua itakayofuata ni kuwa na Shirikisho la kisiasa (POLITICAL FEDERATION) nayo mazungumzo tayari yamekwishaanza.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.