Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa mitindo Asia Idarous Khamsin akiwakaribisha wageni katika onyesho hilo lililofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo palichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.
Jokate Mwegelo ambaye alikuwa ni mc wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012, katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo pamlichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.
Mambo hayooooo, mwanadada ambaye alipanda katika ufunguzi.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Chiddy Benzi akiwasha moto.
Chiddy Benzi on the stage.
Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 (wa kwanza kulia) Mama wa mtindo Asia Idarous Khamsin akiwa na mumewe Mzee Khamsin katika onyesho hilo lililofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo pamlichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.
Ehe! umeona mbao hayo...
Safi, (kulia) mbunifu wa mavazi akiwa na mwanamitindo wake.
Mbunifu chipukizi akiwa na mwanamitindo wake.
Haya sasa, unalo la kusema...'Lady In Lady' Reloaded 2012.
Mambo ya harusi... mpo...
'Lady in Red' Reloaded 2012 liliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.