ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, February 14, 2012

MAANDALIZI YA VALENTINE LEO GOLD CREST MZ

VALENTINE MWANZA NA KING KIKII< Kutoka kushoto ni Promota Dj Ally Coco, Mwanamuziki King Kikii na mwimbaji Zed wakiwa katika maandalizi.

Ishasemwa kuwa ni Dinner and Dance na hivi ndivyo imemaanishwa.

Ni Valentine wandugu wapenzi.Wahi mapema ili hii iwe meza yako..

Ukumbi wa shughuli ndani ya Gold Crest katika hatua za awali upambaji leo....

Mdau kesha tupia saa nyingiiii...

Yaani ni maandari smart, safi, clean ikikusubiri wewe tu!!

Muhksin Mambo wa Star Tv akifanya mahojiano maalum na Mwandaaji wa Usiku wa Valentine utakaofanyika leo Gold Crest Hotel toka Coco Intertainment DJ Ally Coco.

Mwonekano wa mjengo wa Hotel Gold Crest nyakati za usiku hapa ndipo shughuli ya Valentine inayosubiriwa kwa hamu Mwanza inakwenda fanyika usiku wa leo....
!!!USIKOSE!!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.