ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, February 26, 2012

KUWA MAKINI NA VIRUSI....

Jana shughuli zangu zilikwama kwa muda wa saa kadhaa mara baada ya kirusi kuingia kwenye laptop yangu ya kazi. Ni mashine niliyoizoea iliyotegemeo kwani humo ndimo matiro zangu zote za kazi huwa nahifadhi kwa shughuli zangu za kila siku kikazi zaidi.

Nilipokea mail hiyo hapo juu pichani yenye kichwa cha utata... sinikajipendekeza kuidadis, nikazama kuidaunlodi', mzigo nikauchukuwa, problem ilianza pale tu nilipoiklick kuifunguwa mail iliyokuja kwa mfumo wa PDF mzigo ukaanza kuficha mafaili huku skrini likaanza kujaa mameseji mwanzo mwisho dah.....


SAWA KUNA ZALI LA MENTARI LAKINI WACHA NIKUPE TAHADHARI USIFUNGUWE WALA KUDOWNLOAD MAIL USIYO JUWA MTUMAJI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.