ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 17, 2012

HAMU YA USHINDI IMEENEA NCHI NZIMA

Yanga na Simba ziko katika kibarua kigumu kesho, kwa wale waliosafiri na Simba kwa lengo la kuisapoti twawaunga mkono tukiwa home.Shabiki wa Yanga akiwa amevalia jezi ya Niyonzima katika mitaa ya jiji la Mwanza.
Tuliobaki nyumbani hatuna budi kuiunga mkono Yanga kwa kuwa ndiyo timu ya Tanzania. Si sahihi hata siku moja kwa Watanzania kutumia nguvu zao kuiunga mkono timu ya Zamalek ambayo ni Adui wa Yanga kesho.

Hamu ya ushindi yapaswa kuenea nchi nzima kama shabiki huyu wa Yanga Afrika toka jijini Mwanza ambaye anaiombea kila la kheri ya timu yake ipate ushindi kwa mchezo wa kesho, sambamba na kuwatakia watani wao wa jadi Simba ambao nao wana kipute Kigali nchini Rwanda.

Mungu ibariki Tanzania.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.