
Licha ya Porto kutangulia kufunga Man City waliibuka na ushindi Porto, ikicheza katika uwanja wa nyumbani, ilikuwa imetangulia kwa kupata bao kupitia Silvestre Varela.
Man City walipata nafasi ya kusawazisha wakati Alvaro Pereira alijifunga mwenyewe kwa kuuelekeza mpira kwa bega hadi wavuni, kufuatia mkwaju kutoka Yaya Toure, mpira ambao alitazamia utamfikia Balotelli.

Bao la pili Hernandez bila shaka litaisaidia sana United itakapoikaribisha Ajax katika uwanja wa Old Trafford kwa pambano la mkondo wa pili tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Licha ya kwamba vilabu mwamba vya Uingereza vimezoea zaidi ligi ya mabingwa na ambao inaheshimika zaidi kushinda Europa, meneja Ferguson ameelezea kwamba wao washatulia baada ya kuondolewa katika michuano ya klabu bingwa, na sasa wanaonyesha ustadi wao kiufundi katika mashindano ya Europa.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.