
Kwa upande wa Mtibwa Sugar timu ambayo ilianza msimu wa pili ligi kuu kwa kichapo kocha wake msaidizi Patrick Mwangata anapinga timu yake kupata ushindi kwa kutegemea timu vibonde akisema kuwa Mtibwa ni moja kati ya timu zenye ushindani ligi kuu na hata matokeo katika msimamo wa ligi kuu zilizopita timu hiyo imekuwa ndani ya top four.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.