Kocha wa timu ya taifa ya mchezo wa ngumi, Edward Lyakwipa (kushoto) akimwelekeza bondia, Mohamed Abdul jinsi ya kuikwepa ngumi uku ukiwa kwenye gadi wakati wa mazaoezi ya kambi hiyo iliyopo uwanja wa ndani ya taifa Dar es salaam.
Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa ya Masumbwi wakifanya Mazoezi ya pamoja katika kambi yao iliyopo Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam leo. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.