ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 20, 2012

BIBI MALAIKA ASHEREKEA KUFIKISHA MIAKA 75

Keki ya kumpongeza bibi Malaika kufikisha miaka 75.

Dada Cosmaya (wa pili kulia mwenye nguo nyeupe) akiwa na wifi yake Mama wa mitindo Asia Khamsin pamoja na marafiki zao wengine waliohudhurua katika maadhimisho ya miaka 75 kuzaliwa kwa mama yake mzazi Bibi Gonsaga Mwingira Shawa a.k.a Bibi Malaika iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Bibi Malaika (katikati) ambaye amefikisha miaka 75 akiwa na mwanae mama Khatibu pamoja na mke wa mwanae Mama wa mitindo Asia Khamsin.

Bibi Malaika akisalimia na Captain Mwaiki katika sherehe ya kumpongeza Bibi Malaika kufikisha miaka 75.

Bibi Malaika akisalimia na Balozi mstaafu wa Ufaransa Mhando katika sherehe ya kumpongeza Bibi Malaika kufikisha miaka 75..

Bibi Malaika akimlisha keki mwanae Cosmaya.


...Utamu wa keki mpaka kaamua kufumba macho...

Bibi Malaika akimlisha keki mme wake mkubwa yani mume wa mjukuu wake wake wa kwanza Meline.

Chearsssss

Wageni waliohudhuria katika sherehe ya kuadhimisha miaka miaka 75 ya kuzaliwa Bibi Gonsaga Mwingira Shawa a.k.a Bibi Malaika iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Nawashukuruni sana kwa ushirikiano wenu, Mungu awabariki mabloger wote.
Cathbert Angelo Kajuna,

Tupe maoni yako

1 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.