ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 1, 2011

KUSHEREHEKEA MIAKA 50 YA UHURU TZ MWENGE WA UHURU KUPANDISHWA MLIMA KILIMANJARO

Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru leo Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Walioketi toka kulia ni IGP Said Mwema, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange, Spika wa Bunge Mh. Anne Makinda.

Mama Maria Nyerere na Mama Salma Kikwete na wageni wengine mashuhuri jukwaa kuu.

Rais kikwete akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa kiongozi wa mbio hizo mwaka huu.

Kikosi cha wataopandisha Mwenge wa Uhuru Mlima Kilimanjaro.

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi Mwenge wa Uhuru mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange ambaye atawakabidhi wapandishaji mlima Kilimanjaro.

Viongozi wa wataopandisha Mwenge wa Uhuru Mlima kilimanjaro.

Rais Jakaya akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja kwa Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh Fatuma Mwassa na maafisa wake baada ya mkoa huo kuibuka mshindi wa jumla wa mikoa iliyofanya vyema katika mbio za mwenge kwa wingi wa miradi na maandalizi.

Umma.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.