Mwimbaji mahiri wa kimataifa wa muziki wa injili John Lisu akimtambulisha Mke wake Nelly Lisu katika Tamasha lililopewa jina la JEHOVA Yu Hai Tour lililofanyika tarehe 6 November 2011, ambapo Lisu aliongozana na Timu ya Wapiga Vyombo na waimbaji kutoka jijini Dar.
Mimi hupenda kumwita Dogo lakini ni mmoja wa waimbaji anayekuja kwa kasi katika Tasnia ya muziki wa injili na pia mtangazaji wa Radio ya kikristo ya 91.9 ALIVE FM ya Jijini mwanza Adolph Robert Nzwalla akihusika kikamilifu kuhakikisha jina la Yesu linainuliwa.
Wakati wa kuliombea taifa la Tanzania ilikuwa ni tofauti na tulivyozoea kwani watu waliimba wimbo huu kwa njia ya kuabudu na watu walibubujikwa hisia.
Mrs Matata na mwanae Kivila Matata nao waliguswa na roho kuhudhuria tamasha hili la aina yake lililofanyika kwa mara ya kwanza jijini hapa.
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment