Mwimbaji mahiri wa kimataifa wa muziki wa injili John Lisu akimtambulisha Mke wake Nelly Lisu katika Tamasha lililopewa jina la JEHOVA Yu Hai Tour lililofanyika tarehe 6 November 2011, ambapo Lisu aliongozana na Timu ya Wapiga Vyombo na waimbaji kutoka jijini Dar.
Mimi hupenda kumwita Dogo lakini ni mmoja wa waimbaji anayekuja kwa kasi katika Tasnia ya muziki wa injili na pia mtangazaji wa Radio ya kikristo ya 91.9 ALIVE FM ya Jijini mwanza Adolph Robert Nzwalla akihusika kikamilifu kuhakikisha jina la Yesu linainuliwa.
Wakati wa kuliombea taifa la Tanzania ilikuwa ni tofauti na tulivyozoea kwani watu waliimba wimbo huu kwa njia ya kuabudu na watu walibubujikwa hisia.
Mrs Matata na mwanae Kivila Matata nao waliguswa na roho kuhudhuria tamasha hili la aina yake lililofanyika kwa mara ya kwanza jijini hapa.
REA YAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MKAA MBADALA
-
-Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira
-Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake
Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha...
REA YAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MKAA MBADALA
-
-Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira
-Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake
Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha...
REA YAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MKAA MBADALA
-
-Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira
-Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake
Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha...
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
'Walitupiga na kutubaka barabarani hadharani'
-
Wanawake na wasichana katika jimbo la Darfur nchini Sudan wako katika
hatari ya kukabiliwa na ukatili wa kingono, shirika la matibabu lisilokuwa
na mipaka ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.