ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 26, 2011

ELITHA NA WADAU CHUO CHA SAUT WALA NONDOz

Tabasamu mwanana toka kwa mwadada Elitha Kariongo aliyehitimu siku ya leo kwenye maafali ya 50 Chuo Kikuu cha St. Agustino Mwanza (SAUT) yaliyofanyika katika viwanja vya wazi vya Raila Odinga chuoni hapo.

Hongera kwa ma-mates wahitimu Elitha Kariongo na Bridget.

Katika flash ya pamoja Mama Marry Damie, mhitimu Farida Damie na dada yake Grace Yotam.

Wahitimu Kagonji na Elitha.

M-m-m (kigugumizi) "Badaye sanaaaaaaAAAaaaaaaa!!!"

Tupe maoni yako

2 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.