Tabasamu mwanana toka kwa mwadada Elitha Kariongo aliyehitimu siku ya leo kwenye maafali ya 50 Chuo Kikuu cha St. Agustino Mwanza (SAUT) yaliyofanyika katika viwanja vya wazi vya Raila Odinga chuoni hapo.
Hongera kwa ma-mates wahitimu Elitha Kariongo na Bridget.
Katika flash ya pamoja Mama Marry Damie, mhitimu Farida Damie na dada yake Grace Yotam.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
huyu binti alirudi darasani lini? Lol!
ReplyDeleteHongera dada Elitha.
ReplyDelete