Biashara inayokuwa kwa kasi mkoani Kagera ya Senene, katikati ya wiki hii imesababisha moja kati ya barabara muhimu mjini Bukoba kufungwa kwa muda ili wadau waweze kujipatia bidhaa hiyo kwa nafasi.Senene wakiwekwa kwenye chombo kama hiki chenye matundu ya hewa (chandarua) wanadumu kwa muda mrefu zaidi kwani hata kesho yake waweza kuwarejesha sokoni wakiwa 'fresh'
Ni biashara iliyotokea kuwa na mvuto wa kipekee mkoani Kagera kiasi cha kuwafanya wageni kuinunua pindi zinapokaangwa vizuri na kuhifadhiwa kwenye vyombo maalum, nyingine zikisafirishwa kwa njia ya ndege kwenda sehemu mbalimbali nchini.
Siyo soko bali mtaa umefungwa kupisha biashara hiyo adimu ya senene.
Bidhaa hii ni tani na tani kiasi kwamba wauzaji senene kujaa mfuko huu mweusi huuzwa shilingi 1000/= tu.
Haya siyo magunia ya maharage au mahindi bali ni magunia ya senene.
Binadamu kuanza kuchimba madini angani?
-
Miamba ya angani ina utajiri mkubwa wa madini adimu kama platinamu, nikeli,
kobalti, na hata helium-3, ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa nishati ya
nyu...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.