Rejea taarifa ya msiba wa Mzee Said Muhammad Sikamkono mazishi yatafanyika Leo tarehe 13/10/2011 katika makaburi ya Hainalt Garden of Peace saa nane mchana. Ila kabla ya makaburini tunaombwa wote tufike msikiti wa Sakina Walthamstaw (basi namba 179) saa sita na nusu mchana. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Woolwich Dorkyard ambako wote tunakaribisha muda wowote kujumuika na familia ya marehemu wakati huu wa majonzi .Wakina mama pia wanaweza kufika msikitini au nyumbani kwa marehemu kwa ajili ya kutoa pole.
Address ya sehemu ya msiba ni; Woolwich Ferry 405,Frances Street, London. SE18 5JU.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na; 07813539025 - Haruna mbeyu.Katibu Jumuiya ya Watanzania -london 07766454596 - Abdallah Mdidi
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.