ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 13, 2011

MBUNGE WA MVOMERO AMOS MAKALLA ATEMBELEA ENEO LA MGOGORO WA ARDHI KINYENZE

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (wenye suti) akiangalia uzio uliowekwa na mwekezaji katika Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Wilayani Mvomero, Mkoa wa Morogoro na kuziba njia inayokwenda katika mtaa wa Mwanga na katika mashamba.

Pia mwekezaji huyo raia wa kigeni amechukua sehemu ya mashamba ya wananchi hao bila ya taarifa
yeyote kwa Halamashauri ya Kijiji na wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (kulia) akiwa na kijana Hamis Maguo, alipotembelea hivi karibuni Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, kufuatilia mgogoro kati ya wananchi wa Kijiji hicho na mwekezaji.


Mnyetishaji: www.mrokim.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.