Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (wenye suti) akiangalia uzio uliowekwa na mwekezaji katika Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Wilayani Mvomero, Mkoa wa Morogoro na kuziba njia inayokwenda katika mtaa wa Mwanga na katika mashamba.
Pia mwekezaji huyo raia wa kigeni amechukua sehemu ya mashamba ya wananchi hao bila ya taarifa yeyote kwa Halamashauri ya Kijiji na wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (kulia) akiwa na kijana Hamis Maguo, alipotembelea hivi karibuni Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, kufuatilia mgogoro kati ya wananchi wa Kijiji hicho na mwekezaji.
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4
-
• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote
• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano
• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini
Na Mwa...
Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo
-
IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za
kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.