ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 1, 2011

SHEREHE YA UZINDUZI WA MWACYA ILIVYOFANA

Mgeni rasmi bw. Yohana Mswahili ambaye pia ni Mkurugenzi wa Managing Patner-M S K Solution akihutubia wanachama wa MWACYA waliohudhulia sherehe hizo za uzinduzi wa chama hicho katika ukumbi wa Nyumbani Hotels Mwanza.

Mwenyekiti wa Mwanza city Youth Association (MWACYA) Faustine Msangira toka GVEP INTERNATION wakati akiwasilisha hotuba ya Ufunguzi.

Diwani wa kata ya Mkolani Mh. Mabula alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa hapa akisaini kitabu cha wageni.

Safu ya meza kuu ya uzinduzi wa MWACYA, chama chenye usajili wa kudumu wa no. CBO/NYG/117 toka wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza.

Sehemu ya mashariki

Sambamba na uzinduzi pia ilifanyika harambee ili kutunisha mfuko wa chama hicho cha vijana wanaoishi na kufanya kazi katika jiji la Mwanza ambapo zaidi ya shilingi milioni kumi zimekusanywa kupitia harambee hiyo.

Wanachama wakijuliana hali, aliyekula suti ni bw. Godwin Kabago wa Nexus Associates Attorneys at law.

Mwonekano smati'

Kona ya wana Habari kutoka kushoto John Maduhu, Lavert Shuku, Ben Star na Fredrick Katulanda.

Mkurugenzi wa Managing Patner Solution ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo bw. Yohana Mswahili akiwasha fataki kama ishara ya uzinduzi.

Wakishuhudia mlipuko ni Mgeni rasmi na mh. diwani.

Mgeni rasmi bw. Yohana Mswahili akizindua Kitabu cha katiba ya Chama cha MWACYA.

Chiaaaazzzz.

Chiaaazzzz!!

Chiaaaazzz!!!!!

Mc Job aka Baba Paroko (shoto) aki show LUV na G. Sengo.

Ni wakati wa burudani...

Wanachama wakishiriki Dance la kwaito.

Part two.

Enjoy

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. this was more than wonderful. changamoto kwa vijana jamani

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.