Mkurugenzi wa New Stone Club Mwanza Bw. Jack Fish (shoto) akiongozana na Meneja mauzo wa TBL Mwanza Mr. Mbwambo katika kukata utepe ishara ya ufunguzi.. Ukumbi mzima uligonga kitu cha Chiaaaazzz!!! Ze crowd kabla ya kukata utape kuzindua dansing flow ya Ze Jiwe.. H Baba akisanukisha... Ma-Member. Katika Ming'aro ya kukwaitika... Supa Dadaz. Diamond... H. baba The Platnum along side shosti. Meza ndefu. Sisters.com Ze nyomi. Together we can... Mie, Kabago na Stoper. Round table ya wadau. WochaZz! Ni maraha ya kwanza kabisa ya Kiwanja kilicho On 'New Stone Club' yaliyofana, ngoma iliyopigwa Ijumaa ya tarehe 30 Sept 2011 nakupendeza ile NOWMAaaa!!.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.