Ni mchana majira ya saa saba na dakika 45 wanafunzi wa moja ya shule kata ya Isangijo Wilayani Meatu wakitoka kuteka maji umbali wa kilometa tano kwaajili ya matumizi kwa nyumba ya mwalimu.
Mawasiliano yakitafutwa eneo la mwinuko.
Mawasiliano yamepatikana.
Chakula mashuleni.
tathimini zinaonyesha kuwa ni ukweli usiofichika mradi wa chakula mashuleni umechangia kunyanyua kwa kiwango kikubwa mahudhurio ya watoto.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.