








Watu wenye ulemavu wa ngozi wanamatatizo mawili makubwa yanayo wakabili ikiwa ni pamoja na kansa ya ngozi ambapo hulazimika kuvaa mashati marefu na kofia, pamoja na tatizo la uono hafifu ambalo suluhisho lake ni kupatiwa miwani au vifaa maalum kukabiliana na tatizo hilo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.