ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 17, 2011

SIMBA YAIRARUA YANGA BONANZA LA TBL MWANZA

Maandamano kuelekea viwanja vya Furahisha.
Simba TBL ya jijini Mwanza asubuhi ya leo imeitandika Yanga bwiru bao 3-2 katika bonanza la maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika mchezo wa dakika 30 magoli madogo uliochezwa katika uwanja wa furahisha.
Kikosi Simba
Licha ya kufungwa kwenye mchezo huo Yanga bwiru walionyesha kandanda safi la kuvutia kiasi cha kushangiliwa sana na mashabiki waliofurika asubuhi hii.

Niwakati wa kujuana.



Jukwaa la wadau wa TBL na Wageni Mwanza.
Eh bana eeeh zimetulia!!!

Sehemu ya yetu.
Bonanza la Uhuru linaendelea ambapo kuna burudani za kufufuka mtu wakiwemo Wana Extra Bongo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.