
1. kwanza ukishika kichwa kinakua kama kina manundu nundu
2. pili most of them zinakua tofauti sana na original kiasi kwamba ukiangalia nyuma ya kichwa unakutana na kipilipili against indian hair za mbele [tetracycline!]
3. tatu wanawake wengi sana huonekana more cute wakinyoa nywele zao ila hawajui tu
big up to all women with their natural hair and no sugar added!!!
@Mwanamke wig bwanaaa....tena siku hizi kuna hizo wanaita lace wigs, shurti unatoka kama Beyonce banaa!mnh usuke mabutu utoke kama mrs Lawino, inahusuuuuu acheni kuwa conservative.

I do keep mine clean though....tena kwa manufaa yangu binafsi!!!
Fab unajua kunayale feki na mengine orijino? feki bana mtu ni kama kasukia katani kichwani lol!!!!!!!!!!!!
@Nijuavyo mimi nywele za bandia ni kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa nywele za kichwani, mfano kuna watu wengine hawana nywele kichwani sehemu zote.
Hawa watu huwa wameliwa nywele kwa maradhi au kwa kuzaliwa hivyo hivyo pia kwa warembo wanaotaka kuonekana zaidi ya mungu alivyowaumba.
Usafi wake ni jukumu la mtumiaji.
Asanteni

@Mwana umegonga kunako, siku moja nusura nitapike katika daladala tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwangu, balaa mazeee!!
Jibu—“hahaha pole nadhani hiyo ilikuwa zazuuuuuu..”
@Lol....hivi bado watu wanaweka zazuuuu? Halafu kwanza zazuuu ni nini? inafanya nywele ziweje? nakumbuka miaka ya 80 zazuu ilikuwa kwenye chati sana...
Halafu nyie mnasahau how difficult to maintain that naturale hair...

Its easy to maintain natural hair shem.....compared to 'fake' hair
@Nywele za bandia zenyewe ni ghali na matunzo ni ghali pia, na zinakufanya mtumwa wake kweli kama hapo kwenye red. (binafsi nimuathirika wa hilo...siendi swimming nikiwa na fake hair) kwa wale wanaosema zinanuka, si kweli hata natural hair inanuka kama haisafishwi. Nywele bwana zinahitaji usafi wa hali ya juu usijindanganye eti hiz ni asili so sioshi mpaka miezi sita maana zita'shrink'

@Dada Mmoja akiwa na nywele zake bandia huku aki drive kwa manjonjo na minato kama anapark vile pale kitaani kwetu akatoa kichwa dirishani…. Mama yangu wigi silikaenda na upepo…. Mtumeeee!!! Dada ana bonge la kipara yaaani full udang’a …tehe..tihi!!
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.