Mfanyakaizi wa moja ya makampuni ya uzibuaji maji taka Mwanza akiwa na vifaa vyake vya uzibuliaji begani na mikono chukuchuku.
Wakusanyaji taka katika dampo la furahisha jijini Mwanza.
Upungufu wa usafi wa mazingira ni sababu kuu ya maradhi duniani kote. Uboreshaji wa mazingira una manufaa kubwa kwa athari za afya ya wote katika kaya na katika jamii. Ila tujiulize jeh wakusanyaji taka wetu (wafanya usafi) pamoja na wenzao wote wa mlengo huo wa kufanikisha hatua za usafi jeh! wanavitendea kazi vinavyozilinda afya zao?
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.