Mfanyakaizi wa moja ya makampuni ya uzibuaji maji taka Mwanza akiwa na vifaa vyake vya uzibuliaji begani na mikono chukuchuku.
Wakusanyaji taka katika dampo la furahisha jijini Mwanza.
Upungufu wa usafi wa mazingira ni sababu kuu ya maradhi duniani kote. Uboreshaji wa mazingira una manufaa kubwa kwa athari za afya ya wote katika kaya na katika jamii. Ila tujiulize jeh wakusanyaji taka wetu (wafanya usafi) pamoja na wenzao wote wa mlengo huo wa kufanikisha hatua za usafi jeh! wanavitendea kazi vinavyozilinda afya zao?
BARRICK YAWEZESHA MAFUNZO YA MAWAKILI WA SERIKALI
-
Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia Kampuni ya Twiga
Minerals imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada za
Serikali ku...
TASAC yatoa elimu ya Utunzaji wa Mazingira, Dodoma
-
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC, leo tarehe 02 Juni, 2025
limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda
lao jiji...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.