Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na baadhi ya viongozi na waandishi wa Clouds Media Group alipotembelea ofisi za kampuni hiyo Mikocheni Dar es Salaam, leo. Wapili kushoto ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni hiyo, Ruge Mtahaba akimsikiliza kwa makini.
Nape akionyeshwa na Ruge Studio za Clouds Tv zilivyo za kisasa.
Cathbert Kajuna mtayarishaji wa jarida la Kitangoma linaloandaliwa na kampuni hiyo, na pia ni mmiliki wa blog ya KAJUNA (HABARI NA MATUKIO) akimkabidhi Nape nakala ya jarida hilo alipoingia katika ofisi za utayarishaji wa jarida hilo ambalo ni miongoni mwa majarida yanayosisimua sana hapa nchini. Katikati ni Ruge Mutahaba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Cloud Media Group, Joseph Kusaga (kushoto) akisalimiana na Nape wakati wa ziara hiyo. Katikati ni Ruge.
KASULU YAZIDI KUNUFAIKA NA MALIASILI NA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Dodoma
Wananchi wa Jimbo la Kasulu Vijijini wameendelea kunufaika na uwepo wa
mwekezaji katika kitalu cha Makere Forest Reserve kwa k...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment