ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 9, 2011

NYAMHONGOLO 8/8 MAMALIZIO HAYA FUNGA TWENDE

Kama kawa huteka umma ni kona ya biashara sampuli ya machinga dizaini.

Wakusoma.com mupooo!!!

Kona ya misonsomolo.com Mbuzi achomwa hadi moyo.

'Kwato ya ng'ombe ndani ya spoku za baiskeli yaingiaje?!!'

Hatimaye mwananchi huyo alimzaba kibao mnyama huyo hukumaneno yakimtoka "Li-Ng'ombe we!" Tehe'

Banda la Airtel maonyeshoni.

Hivi miwani tununuazo toka kwa wamachinga zinaubora kwa afya ya macho yetu?

Hizi Baiskeli sikuelewa ni mitumba au paking..?

Banda la Startimes maonyeshoni.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.