Leo ni siku ya kumbukumbu kwenye familia ya Mzee Kubanda na familia ya wana Mwanza-Mwanza hali kadhalika familia ya wapenda Hip hop wanaharakati nchini kote hata nje ya mipaka pia, kwaaaanii.. Fid Q aka 'Ngosha' siku ya leo asherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Blogu ya G.SENGO yasemaaaa:- A birthday is just the first day of another 365-day journey around the sun. Enjoy the trip 'Hommie'...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.