Leo ni siku ya kumbukumbu kwenye familia ya Mzee Kubanda na familia ya wana Mwanza-Mwanza hali kadhalika familia ya wapenda Hip hop wanaharakati nchini kote hata nje ya mipaka pia, kwaaaanii.. Fid Q aka 'Ngosha' siku ya leo asherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Blogu ya G.SENGO yasemaaaa:- A birthday is just the first day of another 365-day journey around the sun. Enjoy the trip 'Hommie'...
JAWITAH i think you know warra i meen...
0 comments:
Post a Comment