ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 4, 2011

NCHI IMEINGIWA GIZA AU TUNAIGIZA?

Aaaaaah-Kumbe!!

Mwananchi wa kawaida alikuwa akisikiliza yanayojiri mjengoni lakini mwisho wa siku baada ya tathimini zake aliamua kuongeza neno kwenye bango la mgenjo kisha akasepa zake!!

Mhhh tutaona mengi awamu hii nchi imekuwa kama familia ya kambale kila mmoja ana sharubu!!

Wafanyabiashara kuwa na sauti kuliko serikali.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.