ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 8, 2011

TIGO YAZINDUA KAMPENI YA 'TIGO TUCHANGE' KUSAIDIA ELIMU TANZANIA


Meneja Habari Elimu na Mawasiliano, Sylivia Lupembe Gumza akiwapongeza Tigo kwa huduma yao ya "Tigo Tuchange" ambayo ni kwaajili ya kusaidia elimu kwa watoto Tanzania ambayo itafanyika 9 Julai 2011. Meneja Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando (kulia) amesema zoezi hili litaanza saa 9:00 asubuhi mpaka 10:00 asubuhi ambapo kama utanunua vocha zaidi ya 500/-ndani ya saa moja utapata mara mbili ya kile kiwango umeweka na hapo utakuwa umechangia elimu Tanzania. Pesa itakusanywa kununua vitabu vya wanafunzi wa shule ya msingi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.