Bi harusi (binti wa Zuma) na safari kuelekea kanisani kufungishwa ndoa.
Baba na Mwana katika dance la Harusi.
Hakika ni siku ya Furaha kwa kila mtu mwana familia kwani mambo yalipangwa yakapangika, bi harusi aliwasili kanisani kwa kutumia usafiri wa asili huku akisindikizwa na babaye mh.Rais Zuma.
Kisha mzee mzima akagonga snape ya tabasamu la ukweli akiwa na bintiye mara tu baada ya kufika eneo husika.
Bwana na Bi harusi katika spesho' dance.
Pete za maharusi.
Drafti la meza kuu.
Si manjo-njo hayo na mikogo toka kwa kaka wa bi harusi na mkewe
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment