Bi harusi (binti wa Zuma) na safari kuelekea kanisani kufungishwa ndoa.
Baba na Mwana katika dance la Harusi.
Hakika ni siku ya Furaha kwa kila mtu mwana familia kwani mambo yalipangwa yakapangika, bi harusi aliwasili kanisani kwa kutumia usafiri wa asili huku akisindikizwa na babaye mh.Rais Zuma.
Kisha mzee mzima akagonga snape ya tabasamu la ukweli akiwa na bintiye mara tu baada ya kufika eneo husika.
Bwana na Bi harusi katika spesho' dance.
Pete za maharusi.
Drafti la meza kuu.
Si manjo-njo hayo na mikogo toka kwa kaka wa bi harusi na mkewe
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi la...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.