Bi harusi (binti wa Zuma) na safari kuelekea kanisani kufungishwa ndoa.
Baba na Mwana katika dance la Harusi.
Hakika ni siku ya Furaha kwa kila mtu mwana familia kwani mambo yalipangwa yakapangika, bi harusi aliwasili kanisani kwa kutumia usafiri wa asili huku akisindikizwa na babaye mh.Rais Zuma.
Kisha mzee mzima akagonga snape ya tabasamu la ukweli akiwa na bintiye mara tu baada ya kufika eneo husika.
Bwana na Bi harusi katika spesho' dance.
Pete za maharusi.
Drafti la meza kuu.
Si manjo-njo hayo na mikogo toka kwa kaka wa bi harusi na mkewe
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.