Ili kuboresha Elimu, jumla ya maabara 250 kujengwa kwenye kata mbalimbali mkoani Mwanza.
KISHA..
Baadae wakati maonyesho yakiendelea kongamano lafanyika wilayani humo, kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro ametoa wito kwa wenyeviti wa vijiji kusimamia vyema mali na miundo mbinu ya taifa kama vile mkongo wa mawasiliano ambapo kuna baadhi ya watu wameanza kuifukua na kuiba rasilimali zilizowekwa, vyuma vya madaraja ambapo baadhi ya watu wamekuwa waking'oa na kwenda kuuza kama vyuma chakavu pia alisisitiza suala la amani kama mhimili wa Taifa.
KISHA..
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.